CHUO CHA MIPANGO CHAWAONGEZEA MBINU WAKULIMA WA ZABIBU



 Makamu Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)-Taaluma, Profesa Provident Dimoso akielezea jinsi chuo hicho kilivyofanya utafiti kuhakikisha zao la zabibu mkoani Dodoma linawatea hali bora wakulima wa zao hilo.‘

Prof. Dimoso ameyasema hayo alipokuwa akielezea kuhusu tafiti mbalimbali wanazofanya kuwaletea maendeleo wananchi vijijini katika mahojiano yaliyofanyika Makao Makuu ya IRDP jijini Dodoma Juni 30, 2026.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

ZIJUE SIFA ZA WANYAKYUSA WA KYELA NA RUNGWE

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

NMB, CTM TANZANIA WAZINDUA MIKOPO YA KUMALIZIA NYUMBA