HIGH SCHOOLS ZA MUSOMA VIJIJINI ZINAANZA RASMI MASHINDANO YA MBUNGE WA JIMBO

 Lengo la Ushindani: 
Uelewa na ufaulu mzuri wa wanafunzi wa "high schools"

 Zawadi: 
Mbunge wa Jimbo atapanga baada ya kufanya majadiliano na shule hizo (Agosti 2026)

 Idadi ya High Schools: 4

1. Kasoma High School 
HGL, HKL & HGK
Mitihani ya 2026: Wanafunzi 198
Matokeo yameambatanishwa hapa:
Division I: 182 (91.92%)
Division II:  16 (8.08%)

Ng'ombe mmoja (1) wa kitoweo watapewa Jumamosi ya wiki hii

2. Suguti High School
PCM, PCB, CBG & EGM
Mitihani: 2027
Matokeo: mwakani

3. Mugango High School 
CBG & EGM
Mitihani: 2027
Matokeo: mwakani

4. Mtiro High School (mpya)
Tumeomba: masomo ya sayansi
Wanafunzi: "second selection"

 Lengo letu: 
Musoma Vijijini iwe na "high schools 10" za masomo ya sayansi ifikapo Mwaka 2030

 Kiambatanisho: 
Matokeo ya Mwaka 2025 ya Kasoma High School

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini 
www.musomavijijini.or.tz 

P. O. Box 6
Musoma

Date: Mon, 6 July 2026



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

ZIJUE SIFA ZA WANYAKYUSA WA KYELA NA RUNGWE

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA