AIRA TANZANIA YATUA MOSCOW, URUSI

Ndege ya kwanza ya Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) ya safari za moja kwa moja kutoka Tanzania imewasili jana mjini Moscow, Urusi, ikitekeleza mpango uliotangazwa na Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Safari hiyo inaunganisha Dar es Salaam, Zanzibar na Moscow, hatua inayotarajiwa kuimarisha usafiri wa anga kati ya Tanzania na Urusi.

Hatua hiyo pia inalenga kukuza biashara, utalii na uwekezaji kati ya mataifa hayo mawili. Wakati huohuo, Serikali inaendelea na mipango ya kuendeleza bandari ya usafirishaji mizigo katika eneo la Mangapwani, Zanzibar, ili kuongeza ufanisi wa biashara na kurahisisha usafirishaji wa bidhaa.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

ZIJUE SIFA ZA WANYAKYUSA WA KYELA NA RUNGWE

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

NMB, CTM TANZANIA WAZINDUA MIKOPO YA KUMALIZIA NYUMBA