RAIS SAMIA, MAMA MARIA NYERERE WAENDA ANGOLA

"Leo asubuhi nimepata heshima ya kuambatana na Mama yetu, Mama Maria Nyerere, kuelekea nchini Angola ambako pamoja na shughuli nyingine, tutashiriki uzinduzi wa Hospitali ya Rufaa iliyopewa jina la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere."
"Hii ni heshima kubwa kwa familia ya Mwalimu Nyerere na Taifa letu kwa ujumla, ikiwa ni ishara ya kutambua na kuthamini mchango wake wa kihistoria katika harakati za ukombozi na maendeleo ya Afrika."Rais Samia.





 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

ZIJUE SIFA ZA WANYAKYUSA WA KYELA NA RUNGWE

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA