SHALULILE ATUA RASMI YANGA

Klabu ya Young Africans imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Namibia, Peter Shalulile, aliyekuwa akiitumikia Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.

Shalulile anatarajiwa kujiunga na kikosi cha Yanga kama sehemu ya maboresho makubwa ya kuelekea msimu mpya, huku akitajwa kuziba pengo lililoachwa na mshambuliaji Prince Dube, ambaye ameondoka ndani ya klabu hiyo.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎