Bei, Ladha na Chaguo; Mambo Yanayowafanya Watu Waizungumzie ORIJIN.


Mbali na ladha yake, ORIJIN imeendelea kujadiliwa kutokana na kuwa na chaguo mbalimbali vinavyompa mtumiaji nafasi ya kuamua kulingana na mahitaji yake.

Kwa sasa ORIJIN Bitters ya mililita 750 inauzwa kwa Sh15,000, ORIJIN Bitters ya mililita 200 kwa Sh5,000 huku ORIJIN Mixed (RTD) ikipatikana kwa Sh3,000. Hali hiyo imeifanya bidhaa hiyo kuwafikia watumiaji wenye mahitaji tofauti.

Licha ya kupita kwa siku kadhaa tangu uzinduzi wake, maoni kuhusu ORIJIN bado yanaendelea kuongezeka, ishara kuwa bidhaa hiyo imeendelea kuvutia umakini wa walaji nchini

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥