BITEKO: TANZANIA IMEPIGA HATUA KUBWA KATIKA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

 📌 Asema wajibu wa kila Mtanzania ni kuhakikisha mafanikio yanakuwa endelevu

Na Mwandishi Wetu – KIZIMKAZI, ZANZIBAR
Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia, huku akisisitiza kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha mafanikio yaliyopatikana yanaendelea kuwa endelevu.

Dkt. Biteko amesema hayo wakati akishiriki mjadala kuhusu “Uongozi wa Kimkakati wa Tanzania katika Kuharakisha Mabadiliko ya Nishati Endelevu na Jumuishi”, uliofanyika katika Mdahalo wa Nishati Safi ulioandaliwa na Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF), Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.
Amesema uwepo wa Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia ni sehemu ya jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye ameendelea kuipa msukumo ajenda hiyo katika ngazi mbalimbali za uongozi wake na kuifikisha hadi katika majukwaa ya kimataifa.

Dkt. Biteko amesema umuhimu wa kuendelea kuipa kipaumbele ajenda hiyo unatokana na ukubwa wa athari za matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia, ikiwemo uharibifu wa mazingira unaosababishwa na matumizi ya kuni na mkaa, ambapo takribani hekta 470,000 za misitu hupotea kila mwaka nchini.


Aidha, amesema zaidi ya watu 33,000 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na magonjwa yanayohusishwa na uchafuzi wa hewa wakati wa kupika, hali inayoonesha umuhimu wa kuongeza kasi ya mpito kuelekea matumizi ya nishati safi.

Ameongeza kuwa matumizi ya nishati isiyo safi yana athari za kijinsia, hususan kwa wanawake ambao hutumia muda mwingi kutafuta kuni badala ya kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji na maendeleo ya kiuchumi.

Amesema athari hizo pia zinawagusa watoto, ambapo baadhi yao hukosa muda wa kutosha wa kuhudhuria masomo kutokana na kulazimika kusaidia familia zao kutafuta kuni kwa ajili ya kupikia.

Katika mjadala huo, Dkt. Biteko amesisitiza umuhimu wa kufanya tathmini za mara kwa mara ili kubaini kiwango cha uendelevu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, hususan baada ya wananchi kuwezeshwa kupata teknolojia na miundombinu husika.

Amesema tathmini hizo zitasaidia Serikali na wadau kubaini changamoto zilizopo, kupima matokeo yaliyofikiwa na kuweka mikakati madhubuti zaidi ya kuendeleza matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini.

Pia, Dkt. Biteko ameipongeza Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) kwa kuwa miongoni mwa taasisi zinazochangia utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia kupitia shughuli mbalimbali, ikiwemo kusaidia upatikanaji wa miundombinu pamoja na kuendesha midahalo inayowakutanisha wadau kujadili namna bora ya kuharakisha matumizi ya nishati safi, salama na endelevu nchini.
 

http://serviciosescolares.utvam.edu.mx/

https://marywshelley.com/

slot toto

http://yarget.ru/press/

https://slopega.me/

situs slot 5000

https://mjfveterinarycollege.org/

link gacor

slot toto

situs togel

https://museodeartesacro.com/

toto togel

toto online

slot toto

https://euclorina.com/

situs togel

situs slot

toto 4d

deposit pulsa

slot qris

situs toto

toto togel

https://safari.udsm.ac.tz/

https://botswana-brussels.com/contact/

giga slot

https://www.rajemployee.com/

https://sadd.org.za/

toto slot

toto slot

slot 5k

slot 5k

situs togel

https://domestia.be/

primatogel

https://tupancidosul.rs.gov.br/

situs togel

https://shop.animaisderua.org/

primatoto

https://retailweek.uz/

https://tupancidosul.rs.gov.br/

toto togel

https://ncrs.org.np/

toto togel

https://mitropolia-simbirsk.ru/

primatoto

https://fatherprada.com/

situs togel

toto togel

https://mjfayurvedacollege.org/

primatogel

slot thailand

primatoto

primatoto

login primatoto

https://www.visnagarcity.com/

https://www.olivetchicago.org/

kembangtoto

login primatoto

primatogel

slot 5k

situs toto

loker kerja

https://edesia.ro/

oszmajsv.edu.rs

situs togel

toto togel

https://business-adviser.com.au/

primatoto

primatoto

theory film

toto togel

primatoto

https://e-rv.com/

autochem.id

toto slot

toto togel

situs togel

situs toto

https://lagattapizza.ru/

https://blog.productosflower.com/

situs toto

slot toto

ped.cc

sustainabilityinstitute.net

situs togel

https://healthyeatingresearch.org/

https://hotel101sales.com.ph/

https://cooperativehabitation.coop/

situs togel

https://ketcausoft.com/

situs togel

slot 5k

situs toto

https://sajamar.edu.pe/

toto slot

toto slot

https://sensing-labs.com/

https://iicd.ac.in/

toto slot

toto slot

toto slot

https://www.lespommesdeterre.com/

https://www.mevaco.gr/

https://www.adsuchietipescara.it/

Situs Toto

Slot 5k

https://gevangenpoort.nl/

------------------------------red----------------------------------------

https://gallery.pustovit.com/

slot 5k

https://www.campingrozenhof.com/nl/

situs togel

sempurnatoto

https://graduacao.fa.ulisboa.pt/

toto slot

toto slot

Suryatoto

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥