KATIBU MKUU MRAMBA ATEMBELEA MAONESHO YA KIZIMKAZI 2026


NA MWANDISHI WETU

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, ametembelea Banda la Wizara ya Nishati na taasisi zake katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi 2026, yanayofanyika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. 


Akiwa katika banda hilo, Mhandisi Mramba amepokea maelezo kuhusu huduma zinazotolewa kwa wananchi, pamoja na shughuli na miradi mbalimbali inayotekelezwa katika sekta ya nishati.


Miongoni mwa maeneo aliyopata maelezo ni pamoja na huduma na miradi inayohusu umeme, mafuta, gesi asilia na nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na nishati ya uhakika.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥