LAAC YAWAWEKA 'KITIMOTO' VIONGOZI WA HALMASHAURI YA NKASI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Ado Shaibu akiongoza kikao na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi, mkoani Rukwa kwa ajili ya kujadilia taarifa ya hesabu zilizokaguliwa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Kikao hicho kimefanyika kwenye Ukumbi wa Stanslaus Kasusula bungeni Dodoma Agosti 21,2026. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Abdalah Chikota.



Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Abdalah Chikota.


Wajumbe wa kamati hiyo wakiwa kwenye kikao hicho.



Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi wakijitambulisha.



 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥