𝗠𝗮𝗸𝗮𝗯𝗶𝗹𝗮 10 𝗮𝗺𝗯𝗮𝘆𝗼 𝘂𝗸𝗶𝗸𝗮𝗮 𝗸𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝗻𝗮𝗼, 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗯𝗼𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗿𝗮𝗵𝗶𝘀𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 ⚠️ Kumbuka: Haya ni maoni na mitazamo ya kijamii tu, si kwamba kabila fulani lina mafanikio kuliko lingine. Mafanikio yanategemea juhudi, elimu, nidhamu na fursa. 1. Wasukuma Wana sifa ya kufanya kazi kwa bidii, hasa kwenye kilimo, ufugaji na biashara. Wengi huaminika kuwa wavumilivu katika kutafuta maendeleo. 2. Wachagga Hujulikana kwa moyo wa biashara, uwekezaji na kusaidiana kifamilia katika shughuli za maendeleo. 3. Wahaya Wana historia ndefu ya biashara, elimu na shughuli za uzalishaji zinazochochea maendeleo. 4. Wanyakyusa Wengi wanasifiwa kwa bidii katika biashara, kilimo na uwekezaji wa muda mrefu. 5. Wakinga Hujulikana kwa uchapakazi, nidhamu na uthubutu wa kutafuta fursa sehemu mbalimbali za nchi. 6. Waha Wana sifa ya kujituma katika biashara na shughuli mbalimbali za kiuchumi. 7. Wapare Mara nyingi husifiwa kwa kuthamini elimu, kazi na mipango y...
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA NISHATI NA MADINI Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd). Uteuzi huo wa Dkt. Ben Moshi ni wa kipindi cha miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 1 Machi, 2014. Kutokana na uteuzi huo Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter M. Muhongo (Mb.) amewateua wafuatao, kuwa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya PUMA Energy (T) Ltd kwa kipindi cha miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 1 Machi, 2014: Mhandisi Dkt. Malima MP. Bundara, Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha GARETRACE; Bw. Solomon R.M. Odunga; Katibu Mkuu Mstaafu; Bw. James Andilile, Kamishna Msaidizi wa Nishati katika Wizara ya Nishati na Madini Bw. Daniel N. Nsanzugwanko, Mtaalam Mshauri wa masuala ya biashara. Imetolewa na KATIBU MKUU
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
MBUNGE DEO MWANYIKA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATA YA MJI MWEMA, AKAGUA MIRADI NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI Mbunge wa Jimbo la Njombe, Mhe. Deo Mwanyika, jana tarehe 3 Agosti 2026, alifanya ziara ya kikazi katika Kata ya Mji Mwema kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo, kuzungumza na wananchi pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili. Katika ziara hiyo, Mhe. Mwanyika alikagua Daraja la Kifung’a, lililopo katika barabara inayounganisha maeneo ya Mji Mwema na Ramadhani. Ukaguzi huo ulimwezesha kujionea hali halisi ya daraja hilo pamoja na umuhimu wake katika kurahisisha usafiri wa watu, mazao na huduma nyingine muhimu. Aidha, Mhe. Mbunge alitembelea na kukagua ujenzi wa nyumba ya mwalimu katika Shule ya Msingi Peluhanda. Alipokea taarifa kuhusu hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa mradi huo na kusisitiza umuhimu wa kuboresha mazingira ya kuishi na kufanya kazi kwa walimu ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa elimu. Baada ya kukagua miradi hiyo, Mhe. Mwa...
OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026
NA MWANDISHI WETU OFISI ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) imeshinda tuzo ya TEHAMA AWARD 2026, katika kipengele cha Mabadiliko ya Kidijitali katika Sekta ya Umma. Tuzo hizo zilizoandaliwa na Tume ya TEHAMA, zilitolewa Agosti 09, 2026 kwenye hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Johari Rotana, jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, ambaye alikuwa Mgeni Rasmi. Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) imeibuka mshindi wa kwanza katika kipengele hicho, ikifuatiwa na Shirika la Posta Tanzania (TPC) lililoshika nafasi ya pili, huku Wizara ya Afya ikishika nafasi ya tatu. Mbali na ushindi huo, OWM–TAMISEMI pia ilishika nafasi ya pili katika vipengele mbalimbali, ambavyo ni Utangazaji wa Maudhui ya Kidijitali, Matumizi ya TEHAMA kwa Ajili ya Athari Chanya katika Jamii, Matumizi ya TEHAMA katika Huduma za Afya, pamoja na Ubora katika Akili Mnemb...
BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI
Binti wa Kitanzania, Gloria Majule, ambaye ni mtoto wa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Dkt. Neema Majule, amepata mafanikio makubwa baada ya kutwaa tuzo ya Uandishi Bora wa Filamu kuhusu Malaria nchini Marekani. Gloria, ambaye anasoma katika Chuo Kikuu cha Cornell nchini Marekani na tayari ana shahada mbili, aliibuka mshindi wa tuzo hiyo kwa mwaka 2025/2026 baada ya kuwashinda washiriki zaidi ya 1,000 kutoka mataifa mbalimbali. Ushindi huo ulimwezesha kutembea kwenye zulia jekundu (Red Carpet) kama sehemu ya hafla ya utoaji wa tuzo. Kupitia mafanikio hayo, Gloria ameendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kimataifa. Mabango yanayotangaza ushindi wake na filamu hiyo yamewekwa katika maeneo mbalimbali jijini New York, Marekani. Filamu hiyo, inayoangazia ugonjwa wa malaria ambao unaendelea kuathiri kwa kiasi kikubwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, ikiwemo Tanzania, imepata umaarufu mkubwa nchini Marekani na kuvutia watazamaji wengi. Kwa mujibu w...
KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA
" Naifahamu Yanga, sio Timu ngeni kwangu, ni moja ya Klabu za kisasa Ukanda wa Kusini mwa Jangwa la Sahara.. Siku wanacheza Fainali ya #CAFCC nilikuwepo uwanjani kama Ofisa wa CAF TV na nilipewa nafasi ya kufanya mazungumzo ya Karibu na Kocha wao wa Wakati huo Nasserdin Nabi na wachezaji kadhaa.. walicheza mchezo mzuri na asilimia kubwa ya wachezaji waliokuwa nao kipindi kile naona wanao mpaka sasa" "Naamini Yanga watakuwa ni changamoto nzuri zaidi kwetu katika mashindano haya msimu huu na mechi yetu ijayo dhidi yao ni ya kuoneshana ubora wa Timu hizi mbili pande zote." Maneno ya Kocha Mkuu wa MC Algers, Patrick Beaumelle jana baada ya mchezo wa League 1 dhidi ya Entente Sportive Setifienn
VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Viongozi na watendaji wa matawi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wilaya ya Pangani mkoani Tanga, wamepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala mbalimbali ya kichama, kiuongozi na kijamii ili kuboresha utendajikazi wao wa kila siku. Mafunzo hayo yametolewa Agosti 2, 2026, katika Kata ya Kipumbwi wilayani humo. Akizungumza katika mafunzo hayo, Mwenyekiti wa Seneti ya vyuo vya kati, vyuo na vyuo vikuu mkoa wa Tanga, Leila Mnaki, ambaye alikuwa miongozo mwa wakufunzi, amesema CCM ni Chama imara kwani misingi yake ipo ngazi za chini za mabalozi na matawi, hivyo ni wajibu wa Chama kutoa mafunzo ya mara kwa mara kwa viongozi wake ili kuboresha utendajikazi. "Nguvu ya Chama ni wanachama na viongozi wake, ndiyo maana tupo hapa kupata mafunzo ya kutujengea uwezo ili utendajikazi wetu uwe wenye tija kwa manufaa ya Chama na wananchi tunaowahudumia," amesema Mnaki. Aidha, Mnaki amesema, ni wajibu wa viongozi kuwahudumia wananchi kwa kufuat...
MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE
1. Amezaliwa Tarehe 7 Oktoba Pamoja na viongozi mashuhuri Vladmir putin wa Urusi, na Askofu Desmond Tutu. 2. Ni Kiongozi wa Sita mwenye ushawishi zaidi africa, mpaka april 4 2013 alikua na wafuasi 57,626 katika mtandao wa Twitter. 3. Ndiye Kiongozi Aliyechangia Kiasi Kikubwa kupatikana kwa aman katika nchi za Burundi na DRC akiwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania. 4. Kama ilivyo kwa Rais Obama wa Marekani, Raisi Kikwete ni Mchezaji mzuri wa Mpira wa Kikapu, alichezea timu ya shule katika mashindano mbalimbali. 5. Ukiacha mwalimu Nyerere, Rais Kikwete ndiye kiongozi mwenye Tuzo nyingi zaidi za Heshima. Ameshapata tuzo zaidi Ya Tano za heshima toka alipoanza muhula wake wa kwanza mwaka 2005. 6. Alizaliwa katika familia ya wanasiasa. Babu yake Mzee Mrisho Kikwete alikuwa chifu wa Wakwere. Baba yake alikuwa Mkuu wa Wilaya Pangani, Same na Tanga. Jakaya Kikwete amesimulia hadithi ya kifamilia ya kuwa wakati mama yake alipokuwa mjamzito naye, Babu alitamka kuwa ikiwa mtoto atakuwa wa...
HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥
Jina Kamili: Peter Shalulile Tarehe ya Kuzaliwa: Oktoba 23, 1993 Nchi: Namibia Nafasi: Mshambuliaji (Striker) / Nahodha Urefu: Sentimita 174 Mguu wa Kazi: Kulia Historia ya Vilabu Alivyochezea Tura Magic FC (Namibia) – Alianzia hapa soka lake la ushindani. Highlands Park FC (Afrika Kusini) – Alijiunga nayo akitokea Namibia kabla ya kuhamia Mamelodi. Mamelodi Sundowns FC (Afrika Kusini) – Alijiunga Julai 2020 hadi Julai 2026, alipoiacha timu hiyo akiwa amefunga mabao zaidi ya 100. Mafanikio na Rekodi Kuu Mataji ya Ligi: Ametwaa mataji 5 ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini (PSL) akiwa na Mamelodi Sundowns. Ligi ya Mabingwa Afrika: Alisaidia Sundowns kubeba ubingwa wa CAF msimu wa 2025/26. Tuzo Binafsi: Amewahi kuwa Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini na Mchezaji Bora wa Msimu mara kadhaa kutokana na ukali wake langoni. Timu ya Taifa: Nahodha na kinara wa kufunga mabao wa muda wote katika kikosi cha timu ya taifa ya Namibia (Brave Warriors

.jpeg)



Comments