PINDA AKOSHWA NA BIDHAA ZA KIIKOLOJIA

 


WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda amewapongeza wadau na wakulima wanaofuata mbinu za kilimo ikolojia kwa kuwa kina tija kwenye jamii na uchumi.


Pinda ambaye tangu astaafu amejikita kwenye kilimo, ameonesha kufurahishwa na mwamko wa wakulima kujikita na kilimo ikolojia.


Washiriki wa banda la kilimo ikilojia wameonesha mbegu, viuatilifu na mbolea mbalimbali ambazo ni asili na salama.


Banda hilo limeshirikisha Mtandao wa Baionuwai Tanzania (TABIO), Shirila la Island of Peace (IDP), Mwavuli wa Kilimo Hai Tanzania (TOAM), Shirikisho la Vyama vya Wakulima na Wafugaji Tanzania (SHIWAKUTA), Kitovu cha Kilimo Ikolojia Tanzania (Agroecology HUB) na SWISS AID.






Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

HII NDIYO CV YA KOCHA MPYA WA YANGA

CDF MKUNDA AWATAKA MAAFISA JENERALI WASTAAFU KUACHA KUHANGAIKA NA SIASA

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA