Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa
Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni baada ya kuwasili
katika viwanja vya
Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 06 Agosti, 2026..jpeg)
.jpeg)
Rais wa Jamhuri
ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta akisaini Kitabu cha wageni, baada ya kuwasili katika
viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 06 Agosti, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri
Kaguta Museveni wakishuhudia utiaji saini Hati ya Makubaliano kuhusu
mapendekezo ya kuendeleza Tanga kama Kituo cha Nishati cha Kikanda katika
viwanja vya Ikulu, jijini Dar es Salaam, tarehe 06 Agosti, 2026.
.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)
Comments