Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu ukiukwaji wa sheria ya gharama za uchaguzi na kudai kwamba Mgombea urais kupitia CCM,Rais Jakaya Kikwete amekiuka sheria hiyo kwa kitendo cha kuongeza mshahara wa watumishi wakati huu wa kampeni.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE