Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu ukiukwaji wa sheria ya gharama za uchaguzi na kudai kwamba Mgombea urais kupitia CCM,Rais Jakaya Kikwete amekiuka sheria hiyo kwa kitendo cha kuongeza mshahara wa watumishi wakati huu wa kampeni.
Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu ukiukwaji wa sheria ya gharama za uchaguzi na kudai kwamba Mgombea urais kupitia CCM,Rais Jakaya Kikwete amekiuka sheria hiyo kwa kitendo cha kuongeza mshahara wa watumishi wakati huu wa kampeni.
Comments