HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA


 Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said 🇹🇿, ameonyesha dhamira kubwa ya kuendelea kujifunza baada ya kuamua kurejea darasani kuongeza elimu zaidi kwa ajili ya kuimarisha uwezo wake wa kiuongozi na miradi anayoisimamia sasa pamoja na ile inayokuja.


Inaelezwa kuwa Eng. Hersi Said amejiunga na moja ya taasisi kubwa za elimu nchini Uingereza, inayojulikana kama University of Oxford, hatua inayotafsiriwa kama jitihada za kujiongezea maarifa kwa maendeleo makubwa zaidi ya baadaye.


Mashabiki wengi wa Yanga SC wamepokea hatua hiyo kwa furaha, wakiamini elimu hiyo itaongeza mchango mkubwa katika maendeleo ya klabu na miradi yake ya kimkakati. #KipengaSportUPDATES

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE