JK AFUNGUA KOZI YA UPASUAJI WA UBONGO,UTI WA MGONGO NA MISHIPA YA FAHAMU

Rais Jakaya kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa kozi ya upasuaji wa mishipa ya fahamu, ubongo na uti wa mgongo kwa nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini iliyoanza  jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,  Dk. Hadji Mponda na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Profesa Lawrence Mseru. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE