KATIBU WA BUNGE ATEMBELEA GHANA


Katibu wa Bunge la Tanzania ambae pia ni Katibu wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola

barani Afrika, Dr.Thomas Kashililah (mwenye miwani) akimkabidhi Katibu wa Bunge la Ghana,

Emmanuel Anyimadu vitabu vya Mpango Mkakati (Strategic Plan) wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya

ya Madola (C

Katibu wa Bunge la Tanzania, Dr. Thomas Kashililah(wa pili kulia) akiwa na Katibu wa Ghana,

Emmanuel Anyimadu wakiwa na siwa ambayo ni ishara ya mamlaka kamili ya Bunge la nchi hiyo.

Katibu wa Bunge la Tanzania yuko Ghana kwa nafasi yake kama Katibu wa Bara la Afrika wa

Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola akiwa ameenda huko kutathmini maandalizi ya Mkutano

wa kwanza wa Makatibu wa Mabunge wanachama wa Chama hicho kanda ya Afrika. Wengine pichani

kutoka kushoto ni Saidi Yakubu (Mratibu wa chama hicho barani Afrika), Demetrius Mgalami (wa

pili kulia) ambaye ni Naibu Katibu wa Bara la Afrika wa Chama hicho, na wa kwanza kulia ni

Robert Okudo, Naibu Katibu wa Bunge la Ghana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE