MENGI USO KWA USO NA MALIMA

Mwenyekiti wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi akiwa na Mbunge wa Mkuranga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Adamu Malima  wakati wa mkutano w2a kuwanoa wabunge wa CCM, leo kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar es Salaam.

Makamanda wa upiganaji, Spika wa zamani Samwel Sitta na Mbunge wa Simanjiro, Christopher  ole Sendeka wakitafakari jambo katika mkutano huo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE