PINDA AKICHATI NA WABUNGE


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Grace Kiwelu kwenye viwanja vya  Bunge Mjini Dodoma  Februari 10, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kisalimiana na Mbune wa Kisesa, Luhaga Mpina (kushoto) na Mbunge wa VIti Maalum, Mary Mwanjelwa (wapili kushoto)  kwenye jengo la Utawala la Bunge Mjini Dodoma Februari 10, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Tundu Lissu na dewji
Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, undul Lissu (kusoto) akisalimiana na Mbunge wa Singida Mjini, Mohamed Dewji ja kwenye viwanja vya bunge mjni Dodoma.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO YANAYOUA NDOA NA MAHUSIANO

RAIS SAMIA ANA KWA ANA NA ZUHURA YUNUS

JINSI YA KUMSAHAU EX WAKO ALIEKUACHA;

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

USHAURI WA BURE KWA KILA MFANYAKAZI

TAKUKURU YAPONGEZWA KUWA BEGA KWA BEGA NA MBIO ZA SEPESHA ZINAZOPINGA RUSHWA YA NGONO