PINDA AKICHATI NA WABUNGE


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Grace Kiwelu kwenye viwanja vya  Bunge Mjini Dodoma  Februari 10, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kisalimiana na Mbune wa Kisesa, Luhaga Mpina (kushoto) na Mbunge wa VIti Maalum, Mary Mwanjelwa (wapili kushoto)  kwenye jengo la Utawala la Bunge Mjini Dodoma Februari 10, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Tundu Lissu na dewji
Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, undul Lissu (kusoto) akisalimiana na Mbunge wa Singida Mjini, Mohamed Dewji ja kwenye viwanja vya bunge mjni Dodoma.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥

KAMATI YA BUNGE PAC YABAINI MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA UMMA MZUMBE