DK BILAL AMFARIJI BALOZI WA JAPAN NCHINI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.
Mohamed Gharib Bilal, akizungmza na Balozi wa Japan nchini
Tanzania, Hiroshi Nakagawa wakati alipokwenda kwenye Ofisi ya
Ubalozi wa Japan Upanga, Dar es salaam jana, kwa ajili ya kusaini
kitabu cha kumbukumbu kutokana na maafa makubwa yaliyotokana
na Sunami nchini Japan hivi karibuni. (PICHA NA AMOUR
NASSOR-VPO)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI