DK SINARE APINGA MAUAJI YA MBWA NA PAKA

Mwenyekiti wa Chama cha Kuzuia Ukatili Kwa Wanyama Tanzania  (TSPCA) Dr. Sinare Yussuf Sinare (katikati) leo amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kutoa taarifa ya kupinga amri ya kuua Mbwa na Paka iliyotolewa na Manispaa ya Morogoro hivi karibuni ambapo kila mwananchi ataepeleka kichwa cha Mbwa ama paka angelipwa shilingi elf tano(sh,5,000/-) Pichani (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti TSPCA Anastasia Mmuni.a (kulia) Katibu Mtendaji TSPCA Johari Gessan. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE