DK SINARE APINGA MAUAJI YA MBWA NA PAKA

Mwenyekiti wa Chama cha Kuzuia Ukatili Kwa Wanyama Tanzania  (TSPCA) Dr. Sinare Yussuf Sinare (katikati) leo amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kutoa taarifa ya kupinga amri ya kuua Mbwa na Paka iliyotolewa na Manispaa ya Morogoro hivi karibuni ambapo kila mwananchi ataepeleka kichwa cha Mbwa ama paka angelipwa shilingi elf tano(sh,5,000/-) Pichani (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti TSPCA Anastasia Mmuni.a (kulia) Katibu Mtendaji TSPCA Johari Gessan. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

ASKOFU GWAJIMA: VIJANA PUUZENI WANAOCHOCHEA VURUGU