DK SINARE APINGA MAUAJI YA MBWA NA PAKA

Mwenyekiti wa Chama cha Kuzuia Ukatili Kwa Wanyama Tanzania  (TSPCA) Dr. Sinare Yussuf Sinare (katikati) leo amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kutoa taarifa ya kupinga amri ya kuua Mbwa na Paka iliyotolewa na Manispaa ya Morogoro hivi karibuni ambapo kila mwananchi ataepeleka kichwa cha Mbwa ama paka angelipwa shilingi elf tano(sh,5,000/-) Pichani (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti TSPCA Anastasia Mmuni.a (kulia) Katibu Mtendaji TSPCA Johari Gessan. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....