DK SINARE APINGA MAUAJI YA MBWA NA PAKA

Mwenyekiti wa Chama cha Kuzuia Ukatili Kwa Wanyama Tanzania  (TSPCA) Dr. Sinare Yussuf Sinare (katikati) leo amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kutoa taarifa ya kupinga amri ya kuua Mbwa na Paka iliyotolewa na Manispaa ya Morogoro hivi karibuni ambapo kila mwananchi ataepeleka kichwa cha Mbwa ama paka angelipwa shilingi elf tano(sh,5,000/-) Pichani (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti TSPCA Anastasia Mmuni.a (kulia) Katibu Mtendaji TSPCA Johari Gessan. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️