KILELE CHA TUZO ZA MUZIKI ZA KILI

Mpoki na tuzo ya wimbo wa asili wa shangazi

Juma Kaseja wa Simba akimkabidhi Mzee Yusufu wa Kikundi cha Taarabu cha Jahazi tuzo ya wimbo bora wa taarabu


Barnabas na tuzo ya wimbo bora wa Zouk

                                Jerry Tegete (kulia) akimkabidhi C-PWAA tuzo ya kushirikiana
Yesaya Ambwene AY akitumbuiza

Chokoraa (katikati) akiwa na tuzo ya Rapa bora wa bendi ya muziki

Baadhi ya wapenzi wa muziki wakiwa wamepagawa

              Msanii Linah akilia kwa furaha baada ya kuibuka na tuzo ya msanii bora wa muziki wa kike
Said Mbela wa Msondo Ngoma akiwa na tuzo ya heshima

Linah na Mzee Yusufu wakitumbuiza kwa wimbo wa taarabu

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Imani Kajura (kushoto) akimkabidhi tuzo ya msanii bora wa kike wa muziki, Lady J Dee. Jamaa huyo alimkabidhi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI