MTU MWINGINE AIBUKA TABORA NA KUDAI KUTOA DOZI YA KUTIBU MAGONJWA MBALIMBALI


 Dada Margareth Mutalemwa wa Uzunguni Tabora ambaye naye ameibuka na kuanza kutoa dozi ya magonjwa mbalimbali kwa gharama ya kikombe kimoja sh. 500. Dada Mutalemwa anadai naye ameoteshwa na Mungu kutoa huduma hiyo kwa wagonjwa kwa kutumia dawa hiyo.

Vikombe vya udongo vikiwa na dawa inayotolewa na dada huyo. 

Watu mbalimbali wakiwa wamejipanga tayari kugawiwa dozi na Dada huyo.Picha kwa hisani ya Blogu ya Jamii

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA