Dada Margareth Mutalemwa wa Uzunguni Tabora ambaye naye ameibuka na kuanza kutoa dozi ya magonjwa mbalimbali kwa gharama ya kikombe kimoja sh. 500. Dada Mutalemwa anadai naye ameoteshwa na Mungu kutoa huduma hiyo kwa wagonjwa kwa kutumia dawa hiyo.
Vikombe vya udongo vikiwa na dawa inayotolewa na dada huyo. |
Watu mbalimbali wakiwa wamejipanga tayari kugawiwa dozi na Dada huyo.Picha kwa hisani ya Blogu ya Jamii |
Comments