PINDA ALONGA NA WAHARIRI DAR

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifafanua mambo mbalimbali katika mkutano na wahariri wa vyombo vya habari Dar es Salaam, ikiwa ni pamoja na  jinsi Serikali itakavyoweka mazingira mazuri kwa watakaokuwa wanakwenda Samunge, Loliondo kupata tiba kwa Mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwasapile.  Pamoja na mambo mengine Pinda alitangaza ajira 5,000 za maofisa kilimo na mifugo nchini.  (PICHA  NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA