TIGO YADHAMINI NGORONGORO MARATHON

Mratibu wa Mradi wa Wellshare Innocent Nduhura (katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana. kuhusu maandalizi ya mashindano ya mbio za Ngorongoro za kuchangia fedha za kusaidia kutibu malaria. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Kampuni ya simu ya Tigo, Jackson Mmbando wadhamini wa mbio hizo na  Jolene Mullins ambaye ni Mkurugenzi Mkazi wa Wellshare International.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA