Mweka Hazina wa Kikundi cha Kimbangulile Support Group, Bi. Mwanaisha Mkotima (wa pili kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa Kitengo cha Takwimu, Bw. William Mgaya huku wafanyakazi wenzake wakiangalia. Wa kwanza kulia ni Katibu wa Kikundi hicho Bibi Mary Mbega. (Picha na Magdalena Bwire).
Mtoto Khalfan Ali (5) anayelelewa na kituo cha Kimbangulile Support Group akivalishwa kiatu na Meneja Masoko na Mahusiano wa DataVision International Ltd, Bi. Teddy Qirtu mara baada ya kuongea nao. (Picha na Magdalena Bwire).
Mtoto Sofia Ntamaluge akielezea alivyosaidiwa masomo na kituo hicho hadi kufika kidato cha kwanza. Kushoto ni Katibu wa Kikundi hicho, Bi Mary Mbega na kutoka kulia ni Meneja Masoko na Mahusiano wa DataVision International Ltd, Bi. Teddy Qirtu na Meneja wa Kitengo cha Takwimu, Bw. William Mgaya na Mwenyekiti wa Kimbangulile Support Group, Bibi Leokadia Mchau. (Picha na Magdalena Bwire)
Comments