MAADHIMISHO YA MUUNGANO YAFANA ZENJI

Rais Jakaya Kikwete, akikagua gwaride la heshima wakati wa maadhimisho ya miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, leo kwenye Uwanja wa Amaani, Unguja, Zanzibar.


Rais Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein wakati wa maadhimisho hayo.


Viongozi mbalimbali wakiwa wamesimama wakati gwaride la heshima likipita kwa mwendo wa haraka wakati wa maadhimisho hao. (Picha zote na Ramadhan Othman-Ikulu Zanzibar)





Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE