Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Barabara ya Usagara - Geita leo.Barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 90 imejengwa kwa thamani ya zaidi sh. bilioni 78 zilizotolewa na Serikali ya Tanzania.Kutoka Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro, Katibu Mkuu Ujenzi, Balozi Herbert Mrango, Waziri wa Ujenzi John Magufuli, Mbunge wa Misungwi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Charles Kitwanga na Mkurugenzi Mkuu TANROADS Injinia Patrick Mfugale. (PICHA NA FREDDY MARO)
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments