JK AFUNGUA BARABARA YA USAGARA-GEITA

Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Barabara ya Usagara - Geita leo.Barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 90 imejengwa kwa thamani ya zaidi sh. bilioni 78 zilizotolewa na Serikali ya Tanzania.Kutoka Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro, Katibu Mkuu Ujenzi, Balozi Herbert Mrango, Waziri wa Ujenzi John Magufuli, Mbunge wa Misungwi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Charles Kitwanga na Mkurugenzi Mkuu TANROADS Injinia Patrick Mfugale. (PICHA NA FREDDY MARO)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA