RIDHIWANI KIKWETE KUWABURUZA MAHAKAMANI SLAA NA MTIKILA

Mtoto wa Rais, Ridhiwani Kikwete akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kukanusha tuhuma za kumiliki mali zinazodaiwa kuzushwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa Demokratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila.



Ridhiwani Kikwete akitoka kwenye mkutano. kulia ni Mwandishi wa Habari wa gazeti la Nipashe, Peter Mwendapole.




Ridhiwani akizungumza katika mktano huo






Ridhiwani akisisitiza jambo kwenye mkutano huo, ambapo aliwapa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Mtikila siku saba za kunanusha uzushi huo.








Akifafanua jambo kwenye mkutano huo uliofanyika Hoteli ya New Afrika, Dar es Salaam.










Comments

Anonymous said…
UJUMBE KWA HUYO FISADI!!

Kama anataka kujitafutia matatizo, huu ndio mwanzo. Yeye anapambana na waliomzushia sio?

Akae mkao wakula sbb yapo mengi yatakayofichuliwa ya tangu anasoma mpk ya leo, amejiingiza kwenye mechi mwenyewe. Sifa anazotaka zitamfikisha pabaya asijitafutia publicity, huu sio wkt wake na wala afai kwenye wadhifa wowote.

Msg delivered

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA