RIDHIWANI KIKWETE KUWABURUZA MAHAKAMANI SLAA NA MTIKILA

Mtoto wa Rais, Ridhiwani Kikwete akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kukanusha tuhuma za kumiliki mali zinazodaiwa kuzushwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa Demokratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila.



Ridhiwani Kikwete akitoka kwenye mkutano. kulia ni Mwandishi wa Habari wa gazeti la Nipashe, Peter Mwendapole.




Ridhiwani akizungumza katika mktano huo






Ridhiwani akisisitiza jambo kwenye mkutano huo, ambapo aliwapa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Mtikila siku saba za kunanusha uzushi huo.








Akifafanua jambo kwenye mkutano huo uliofanyika Hoteli ya New Afrika, Dar es Salaam.










Comments

Anonymous said…
UJUMBE KWA HUYO FISADI!!

Kama anataka kujitafutia matatizo, huu ndio mwanzo. Yeye anapambana na waliomzushia sio?

Akae mkao wakula sbb yapo mengi yatakayofichuliwa ya tangu anasoma mpk ya leo, amejiingiza kwenye mechi mwenyewe. Sifa anazotaka zitamfikisha pabaya asijitafutia publicity, huu sio wkt wake na wala afai kwenye wadhifa wowote.

Msg delivered

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA