RIDHIWANI KIKWETE KUWABURUZA MAHAKAMANI SLAA NA MTIKILA

Mtoto wa Rais, Ridhiwani Kikwete akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kukanusha tuhuma za kumiliki mali zinazodaiwa kuzushwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa Demokratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila.



Ridhiwani Kikwete akitoka kwenye mkutano. kulia ni Mwandishi wa Habari wa gazeti la Nipashe, Peter Mwendapole.




Ridhiwani akizungumza katika mktano huo






Ridhiwani akisisitiza jambo kwenye mkutano huo, ambapo aliwapa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Mtikila siku saba za kunanusha uzushi huo.








Akifafanua jambo kwenye mkutano huo uliofanyika Hoteli ya New Afrika, Dar es Salaam.










Comments

Anonymous said…
UJUMBE KWA HUYO FISADI!!

Kama anataka kujitafutia matatizo, huu ndio mwanzo. Yeye anapambana na waliomzushia sio?

Akae mkao wakula sbb yapo mengi yatakayofichuliwa ya tangu anasoma mpk ya leo, amejiingiza kwenye mechi mwenyewe. Sifa anazotaka zitamfikisha pabaya asijitafutia publicity, huu sio wkt wake na wala afai kwenye wadhifa wowote.

Msg delivered

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

SHEREHE ZA DKT. CHANDE KUSIMIKWA UASKOFU MKUU KANISA LA KARMELI ZAFANA

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA

ASKOFU CHANDE ATOA MSAADA WA MAZIWA, AWAOMBEA WATOTO NJITI

YANGA YACHINJA NG'OMBE 20 ZA PILAU TABORA