Rais Jakaya Kikwete akiagana na Waziri wa Mambo ya Nje wa
Marekani, Hillary Clinton baada ya kufanya naye mazungumzo Ikulu,
Dar es Salaam leo asubuhi. Clinton ambaye alikuwa nchini kwa ziara ya
kikazi ya siku tatu baadaye aliondoka nchini kuelekea Ethiopia. (PICHA
NA FREDDY MARO)
Marekani, Hillary Clinton baada ya kufanya naye mazungumzo Ikulu,
Dar es Salaam leo asubuhi. Clinton ambaye alikuwa nchini kwa ziara ya
kikazi ya siku tatu baadaye aliondoka nchini kuelekea Ethiopia. (PICHA
NA FREDDY MARO)
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa
Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani, Hillary Clinton na Mama Salma
Kikwete mara tu baada ya Clinton alipowasili Ikulu
Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani, Hillary Clinton na Mama Salma
Kikwete mara tu baada ya Clinton alipowasili Ikulu
Comments