AIRTEL YATOA MSAADA WA SIMU 60 NA MODEMU 60 KWA JESHI LA POLISI

Mwakilishi wa Inspekta Jenerali wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja (kushoto) akipigiana saluti na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya simu ya Airtel, Chiruyi Walingo baada ya kukabidhiwa msaada wa simu 60 na modemu 60 kwa ajili ya matumizi ya mawasiliano ya jeshi hilo. Hafla hiyo imefanyika leo Makao Makuu ya Jeshi la Polisi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA