AIRTEL YATOA MSAADA WA SIMU 60 NA MODEMU 60 KWA JESHI LA POLISI

Mwakilishi wa Inspekta Jenerali wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja (kushoto) akipigiana saluti na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya simu ya Airtel, Chiruyi Walingo baada ya kukabidhiwa msaada wa simu 60 na modemu 60 kwa ajili ya matumizi ya mawasiliano ya jeshi hilo. Hafla hiyo imefanyika leo Makao Makuu ya Jeshi la Polisi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA