AIRTEL YATOA MSAADA WA SIMU 60 NA MODEMU 60 KWA JESHI LA POLISI

Mwakilishi wa Inspekta Jenerali wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja (kushoto) akipigiana saluti na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya simu ya Airtel, Chiruyi Walingo baada ya kukabidhiwa msaada wa simu 60 na modemu 60 kwa ajili ya matumizi ya mawasiliano ya jeshi hilo. Hafla hiyo imefanyika leo Makao Makuu ya Jeshi la Polisi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA