BILAL AMJULIA HALI MALECELA

Mama Asha Bilal, akisalimiana na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais mstaafu, John Malecela, wakati alipofika kumjulia hali nyumbani kwake mjini Dodoma na Makamu wa Rais, Dk.Mohammed Gharib Bilal (kulia).Malecela amerejea nchini baada ya hivi karibuni kufanyiwa upasuaji nchini India.(PICHA NA MUHIDIN SUFIAN-OMR)
Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal (kulia), akisalimiana na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais mstaafu, John Malecela, alipofika nyumbani kwake mjini Dodoma ,kumjulia halileo baada kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni. (PICHA NA MUHIDIN SUFIAN-OMR)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA