BILAL AMJULIA HALI MALECELA

Mama Asha Bilal, akisalimiana na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais mstaafu, John Malecela, wakati alipofika kumjulia hali nyumbani kwake mjini Dodoma na Makamu wa Rais, Dk.Mohammed Gharib Bilal (kulia).Malecela amerejea nchini baada ya hivi karibuni kufanyiwa upasuaji nchini India.(PICHA NA MUHIDIN SUFIAN-OMR)
Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal (kulia), akisalimiana na Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais mstaafu, John Malecela, alipofika nyumbani kwake mjini Dodoma ,kumjulia halileo baada kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni. (PICHA NA MUHIDIN SUFIAN-OMR)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA