0530
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein akiwakaribisha kwa mazungumzo Ikulu ndogo ya Chake chake Pemba,Madaktari Bingwa,ambao pia ni wataalam kutoka taasisi mbalimbali duniani , walifika kisiwani Pemba kwa lengo la kuadhimisha miaka 11 tokea kuanzishwa kwa ‘Maabara ya Afya ya Jamii’ (PHL). (PICHA NA RAMADHAN OTHMAN)
Comments