KILIMANJARO BIA YAZIMWAGIA YANGA,SIMBA VIFAA



Meneja wa Bia ya Kilimanjaro George Kavishe (kulia), akimkabidhi jezi na vifaa vingine vya michezo Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Geofrey Nyange 'Kaburu' katika hafla hiyo. Wa pili kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Hosea, Meneja Masoko wa TBL, Mamongae Mahlare.





Meneja wa Bia ya Kilimanjaro George Kavishe (kulia), akizungumza na waandishi wa habari wakati a kukabidhi vifaa hivyo.





Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Geofrey Nyange "Kaburu' katikati, akiwa ameshikana mikono na Ofisa wa Habari wa Yanga Louis Sendeu kwa kuziunganisha jezi zao baada ya kukabidhiwa na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro George Kavishe (kushoto). Wa pili kulia anayeshuhudia tukio hilo ni Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Hosea.








Meneja wa Bia ya Kilimanjaro George Kavishe (kushoto), akimkabidhi jezi na vifaa vingine vya michezo Kocha Msaidizi wa Yanga Salvatory Edward katika hafla hiyo. Wa pili kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Hosea, Meneja Masoko wa TBL, Mamongae Mahlare na Ofisa habari wa Yanga Louis Sendeu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI