Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kivukoni, wakifurahia kucheza muziki wenye wimbo wa historia ya chuo hicho, uliokuwa unaporomoshwa na bendi ya DDC Mlimani Park, wakati wa maadhimisho ya miaka 50 tangu chuo hicho kianzishwe mwaka 1961.
Bendi ya DDC Mlimani Park wakitumbuiza wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Kivukoni, Dar es Salaam jana. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Bendi ya DDC Mlimani Park wakitumbuiza wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Kivukoni, Dar es Salaam jana. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Comments