MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA CHUO CHA KIVUKONI

Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kivukoni, wakifurahia kucheza muziki wenye wimbo wa historia ya chuo hicho, uliokuwa unaporomoshwa na bendi ya DDC Mlimani Park, wakati wa maadhimisho ya miaka 50 tangu chuo hicho kianzishwe mwaka 1961.
Bendi ya DDC Mlimani Park wakitumbuiza wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Kivukoni, Dar es Salaam jana. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA