MASHINDANO YA KUTOKOMEZA MALARIA YAFANA DAR

Majaji wa mashindano hayo wakiwa makini kuhakikisha anapatika mshindi wa uhakika.


Wanafunzi wa Jangwani wakionesha umahiri wao wa kuimba wimbo wa kutokomeza ugonjwa wa Malaria.


Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Zanaki, wakiimba wimbo wa kuhamasisha watu kutokomeza Malaria katika mashindano hayo. wakati wa mashindano ya baadhi ya shule za sekondari za Mkoa wa Dar es salaam, jana katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani, Dar es salaam. Mashindano hayo yaliandaliwa na mpango wa Kutokomeza Malaria nchini wa Zinduka. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)


Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jangwani, wakishangilia wakati kwaya ya shule hiyo ikifanya vitu vyake jukwaani,


wana Azania wakifanya mambo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

MONGELLA AKABIDHIWA ‘MIKOBA’ RASMI YA NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA*

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA