Baadhi ya wahariri na waombolezaji wengine wakilia kwa uchungu baada ya mwili wa aliyekuwa Naibu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006), marehemu Danny Mwakiteleko kuwekwa kwenye nyumba yake ya milele, katika Kijiji cha Ndala, Mwakaleli, Tukuyu, mkoani, Mbeya jana.
S ehemu ya umati waombolezaji ukiwa msibani
Mjane wa marehemu, Mwakiteleko, Winnie akiweka shada la maua katika kaburi la mumewe.
Mwili wa mpendwa Danny Mwakiteleko ukipumzishwa kwenye nyumba yake ya milele kijijini kwao Ndala.
Watoto wa marehemu, Mwakiteleko, Vanesa (kulia) na Caroline wakiwa na huzuni wakati wa mazishi.
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006), Deus Balile akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Naibu wake, marehemu Mwakiteleko.
Mkurugenzi wa Mahusiano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Jossey Mwakasyuka akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu, Danny Mwaikteleko.
S ehemu ya umati waombolezaji ukiwa msibani
Mjane wa marehemu, Mwakiteleko, Winnie akiweka shada la maua katika kaburi la mumewe.
Mwili wa mpendwa Danny Mwakiteleko ukipumzishwa kwenye nyumba yake ya milele kijijini kwao Ndala.
Watoto wa marehemu, Mwakiteleko, Vanesa (kulia) na Caroline wakiwa na huzuni wakati wa mazishi.
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006), Deus Balile akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Naibu wake, marehemu Mwakiteleko.
Mkurugenzi wa Mahusiano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Jossey Mwakasyuka akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu, Danny Mwaikteleko.
Comments