TIGO YAPIGA TAFU SEKTA YA ELIMU


Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu kampeni ya waliyoianzisha ya kuchangisha fedha kwa ajili ya maendeleo ya Sekta ya Elimu nchini. Tigo wametenga saa moja kesho Jumamosi kuanzia saa 3 mpaka saa 4 asubuhi, kukusanya fedha zote watakazopiga wateja kwa muda huo kuchangia sekta hiyo. Kushoto ni Meneja Habari, Elimu na Mawasiliano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Sylivia Gunze

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI