TIGO YAPIGA TAFU SEKTA YA ELIMU


Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu kampeni ya waliyoianzisha ya kuchangisha fedha kwa ajili ya maendeleo ya Sekta ya Elimu nchini. Tigo wametenga saa moja kesho Jumamosi kuanzia saa 3 mpaka saa 4 asubuhi, kukusanya fedha zote watakazopiga wateja kwa muda huo kuchangia sekta hiyo. Kushoto ni Meneja Habari, Elimu na Mawasiliano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Sylivia Gunze

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO