TIGO YAPIGA TAFU SEKTA YA ELIMU


Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu kampeni ya waliyoianzisha ya kuchangisha fedha kwa ajili ya maendeleo ya Sekta ya Elimu nchini. Tigo wametenga saa moja kesho Jumamosi kuanzia saa 3 mpaka saa 4 asubuhi, kukusanya fedha zote watakazopiga wateja kwa muda huo kuchangia sekta hiyo. Kushoto ni Meneja Habari, Elimu na Mawasiliano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Sylivia Gunze

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA