VATCAN YAMKATAA ASKOFU WA UCHINA

Joseph Huang Bingzhang alivishwa uaskofu katika jimbo la Guangdong, siku ya Alkhamisi, na kanisa Katoliki linaloidhinishwa na serikali, na ambalo halitambui mamlaka ya Papa.

Katika taarifa kali, Vatikani piya ilisema kuwa Papa Benedict, analaani jinsi kanisa linavotendewa huko Uchina.

Uchina ina wakatoliki karibu milioni sita, ambao wamegawika baina ya kanisa linaloungwa mkono na chama cha kikoministi, na lile la chini kwa chini, tiifu kwa Papa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI