VATCAN YAMKATAA ASKOFU WA UCHINA

Joseph Huang Bingzhang alivishwa uaskofu katika jimbo la Guangdong, siku ya Alkhamisi, na kanisa Katoliki linaloidhinishwa na serikali, na ambalo halitambui mamlaka ya Papa.

Katika taarifa kali, Vatikani piya ilisema kuwa Papa Benedict, analaani jinsi kanisa linavotendewa huko Uchina.

Uchina ina wakatoliki karibu milioni sita, ambao wamegawika baina ya kanisa linaloungwa mkono na chama cha kikoministi, na lile la chini kwa chini, tiifu kwa Papa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾