VATCAN YAMKATAA ASKOFU WA UCHINA

Joseph Huang Bingzhang alivishwa uaskofu katika jimbo la Guangdong, siku ya Alkhamisi, na kanisa Katoliki linaloidhinishwa na serikali, na ambalo halitambui mamlaka ya Papa.

Katika taarifa kali, Vatikani piya ilisema kuwa Papa Benedict, analaani jinsi kanisa linavotendewa huko Uchina.

Uchina ina wakatoliki karibu milioni sita, ambao wamegawika baina ya kanisa linaloungwa mkono na chama cha kikoministi, na lile la chini kwa chini, tiifu kwa Papa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI