VATCAN YAMKATAA ASKOFU WA UCHINA

Joseph Huang Bingzhang alivishwa uaskofu katika jimbo la Guangdong, siku ya Alkhamisi, na kanisa Katoliki linaloidhinishwa na serikali, na ambalo halitambui mamlaka ya Papa.

Katika taarifa kali, Vatikani piya ilisema kuwa Papa Benedict, analaani jinsi kanisa linavotendewa huko Uchina.

Uchina ina wakatoliki karibu milioni sita, ambao wamegawika baina ya kanisa linaloungwa mkono na chama cha kikoministi, na lile la chini kwa chini, tiifu kwa Papa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA