MWIZI KUWA MWANARIADHA


Mwizi mmoja nchini Uchina alitoka mbio baada ya kufanya wizi, kiasi kwamba wanariadha wanamtaka mwizi huyo kwa ajili ya mbio fupi.
China

China wanataka kutumia uzoefu wa mwizi kuwa mwanariadha..

Mwizi huyo, Lei Pai, alionekana akikimbia mita mia moja na kumi kwa muda wa sekunde kumi na moja, baada ya kukwapua betri.

Picha za mwizi huyo akikimbia zilionekana katika kamera za ulinzi, maarufu kama CCTV.
"Ukizingatia alikuwa amevaa viatu vya kawaida na kasi aliyokimbia" amesema kocha wa riadha wa jimbo la Zhengzhou. Nadhani atatufaa sana, iwapo akielekezwa jinsi ya kukimbia na akipatiwa vifaa vinavyotakiwa, amesema kocha huyo wa jimbo la Henan.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE