SAKATA LA KUGOMBEA MAFUTA DAR

Malori yakiwa yamepanga foleni tayari kuingia kujazwa mafuta katika matanki ya Kampuni ya Camel, eneo la Kurasini, Dar es Salaam jana. Camel ni miongoni mwa kampuni za mafuta zilizoamriwa na Serikali kuacha mgomo na kuanza kuuza mafuta ama sivyo ingechuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo ya kufutiwa leseni.


Askari wakituliza vurugu za kugombea mafuta eneo la Vetinari, Temeke, Dar

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA