WANASHERIA 288 WAKUBALIWA UWAKILI LEO


Baadhi ya wapigapicha wa vyombo vya habari na binafsi, wakichukua picha za matukio wakati wa hafla ya kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya 288

Jaji Mkuu Mohamed Chande Othaman ( wa nane waliokaa kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (wa tatu kulia) pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu nchini, mara baada ya kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya,

Wakili mpya, Nicholas Mugaruka, akipewa shada la maua na mama yake, Costance Pross huku baba yake Jackson Bazarwoha akimuangalia kwa furaha, mara baada ya kukubaliwa na kusajiliwa


Mkurugenzi Mkuu wa benki ya CRDB, Charles Kimei, Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Idris Kikula (katikati) na Mshauri wa mambo ya Kiuchumi, Janeth Mbele, wakijadili jambo katika hafla hiyo.



Baadhi ya Mawakili wakiwa katika hafla yao ya kuwakubali na kuwasajili iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman (hayupo pichani), Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO YANAYOUA NDOA NA MAHUSIANO

RAIS SAMIA ANA KWA ANA NA ZUHURA YUNUS

JINSI YA KUMSAHAU EX WAKO ALIEKUACHA;

USHAURI WA BURE KWA KILA MFANYAKAZI

TAKUKURU YAPONGEZWA KUWA BEGA KWA BEGA NA MBIO ZA SEPESHA ZINAZOPINGA RUSHWA YA NGONO

JINSI BINTI HUYU MWANAFUNZI ANAVYOIPENDA MITI

NDOGO WA MUME WANGU ALIKUWA EX WANGU