WANASHERIA 288 WAKUBALIWA UWAKILI LEO


Baadhi ya wapigapicha wa vyombo vya habari na binafsi, wakichukua picha za matukio wakati wa hafla ya kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya 288

Jaji Mkuu Mohamed Chande Othaman ( wa nane waliokaa kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (wa tatu kulia) pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu nchini, mara baada ya kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya,

Wakili mpya, Nicholas Mugaruka, akipewa shada la maua na mama yake, Costance Pross huku baba yake Jackson Bazarwoha akimuangalia kwa furaha, mara baada ya kukubaliwa na kusajiliwa


Mkurugenzi Mkuu wa benki ya CRDB, Charles Kimei, Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Idris Kikula (katikati) na Mshauri wa mambo ya Kiuchumi, Janeth Mbele, wakijadili jambo katika hafla hiyo.



Baadhi ya Mawakili wakiwa katika hafla yao ya kuwakubali na kuwasajili iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman (hayupo pichani), Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

BALOZI WA CHINA KUPITIA DKT. MAJULE APELEKA NEEMA KWA WANAWAKE DODOMA

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA