Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Vodacom, Mwamvita Makamba (kushoto), akitangaza mbele ya waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu promosheni mpya ya Mega, ambapo mteja atakuwa anatuma ujumbe mfupi bure kwenda namba 15015 na kumpa fursa ya kushiriki shindano litakalowezesha wateja wawili kila mmoja kujishindia zawadi ya luninga ama sh. mil. 11 kwa siku. Kulia ni Mkurugenzi wa Mahusiano ya Wateja wa kampuni hiyo, Charity Safford.(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Vodacom, Mwamvita Makamba (kushoto), akitangaza mbele ya waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu promosheni mpya ya Mega, ambapo mteja atakuwa anatuma ujumbe mfupi bure kwenda namba 15015 na kumpa fursa ya kushiriki shindano litakalowezesha wateja wawili kila mmoja kujishindia zawadi ya luninga ama sh. mil. 11 kwa siku. Kulia ni Mkurugenzi wa Mahusiano ya Wateja wa kampuni hiyo, Charity Safford.(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Comments