WATEJA WA VODACOM KUZAWADIWA LUNINGA NA SH. MIL 11


Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Vodacom, Mwamvita Makamba (kushoto), akitangaza mbele ya waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu promosheni mpya ya Mega, ambapo mteja atakuwa anatuma ujumbe mfupi bure kwenda namba 15015 na kumpa fursa ya kushiriki shindano litakalowezesha wateja wawili kila mmoja kujishindia zawadi ya luninga ama sh. mil. 11 kwa siku. Kulia ni Mkurugenzi wa Mahusiano ya Wateja wa kampuni hiyo, Charity Safford.(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE