AIRTEL RISING STARS KURINDIMA JUMAMOSI

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu ya Airtel, Jackson Mbando (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu maandalizi ya michuano ya Aitel Rising Stars, inayotarajia kuanza Jumamosi kwenye Uwanja wa Karume jijini.Kutoka kulia ni Ofisa Tawla wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Idd Mhsangama na OIfisa Habari wa TFF, Boniface Wambura. (NA MPIGAPICHA WETU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

ASKOFU GWAJIMA: VIJANA PUUZENI WANAOCHOCHEA VURUGU