AIRTEL RISING STARS KURINDIMA JUMAMOSI

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu ya Airtel, Jackson Mbando (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu maandalizi ya michuano ya Aitel Rising Stars, inayotarajia kuanza Jumamosi kwenye Uwanja wa Karume jijini.Kutoka kulia ni Ofisa Tawla wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Idd Mhsangama na OIfisa Habari wa TFF, Boniface Wambura. (NA MPIGAPICHA WETU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

RAIS WA BURKINA FASO ATANGAZA DIRA YA KUUNDA MUUNGANO WA MATAIFA YA AFRIKA (UNITED STATES OF AFRICA).