Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania, James Cantamantu-Koomson (wa pili kushoto), akisisitiza jambo kwa waandishi wa Habari,Dar es Salaam jana, kuhusu mkakati wa kimaendeleo na ukuaji kwa benki hiyo hapa nchini. Kushoto ni Mkuu wa Bidhaa za Kibenki na Masoko, Ndabu Swere, Kulia ni Mkuu wa Maswala ya Ndani ya Benki (Domestic Banking), Joyce Malai na Mkuu wa Maswala ya Kibenki (Corporate Banking), Linley Kapya.
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments