Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania, James Cantamantu-Koomson (wa pili kushoto), akisisitiza jambo kwa waandishi wa Habari,Dar es Salaam jana, kuhusu mkakati wa kimaendeleo na ukuaji kwa benki hiyo hapa nchini. Kushoto ni Mkuu wa Bidhaa za Kibenki na Masoko, Ndabu Swere, Kulia ni Mkuu wa Maswala ya Ndani ya Benki (Domestic Banking), Joyce Malai na Mkuu wa Maswala ya Kibenki (Corporate Banking), Linley Kapya.
Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania, James Cantamantu-Koomson (wa pili kushoto), akisisitiza jambo kwa waandishi wa Habari,Dar es Salaam jana, kuhusu mkakati wa kimaendeleo na ukuaji kwa benki hiyo hapa nchini. Kushoto ni Mkuu wa Bidhaa za Kibenki na Masoko, Ndabu Swere, Kulia ni Mkuu wa Maswala ya Ndani ya Benki (Domestic Banking), Joyce Malai na Mkuu wa Maswala ya Kibenki (Corporate Banking), Linley Kapya.
Comments