MWINYI AZINDUA KITABU CHA JE TUMETAFAKARI NA KUJIULIZA?

Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Hassan Mwinyi akizindua kitabu kipya kiitwacho Je Tumetafakari na kujiuliza? kilichotungwa na jopo la Masheikh na Wanazuoni wa Kiisalam Tanzania.Anayeshuhudia uzinduzi huo uliofanyika, Dar es Salaam leo, ni Mwenyekiti wa jopo hilo, Sheikh Shariff Hussein. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Baadhi ya wajumbe wa jopo lililoshiriki kutunga kitabu hicho wakiomba dua wakati wa hafla hiyo
Ali Hassan Mwinyi akiingia kwenye Ukumbi wa Arnatouglo, Mnazi Mmoja, kuzinduz kitabu hicho.
Alhaji Ali Hassan Mwinyi akikaribishwa na Mshauri wa Taasisi ya Masheikh na Wanazuaoni wa Kiislamu Tanzania, Idd Mohamed Simba.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA