NEMBO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU

Nembo Rasmi ya Kuadhmisha Miaka 50 ya Uhuru wa nchi yetu. Nembo hiyo ndiyo iliyopitishwa Rasmi na Kamati ya Taifa ya Madhimisho hayo chini ya Katibu Mkuu Kiongozi. Nashauri kuwa kwa sababu shughuli za miaka 50 zitakuwa nyingi katika wiki na miezi michache ijayo na kwa ajili ya uniformity na kwenda pamoja sote tutumie nembo hiyo kwa kadri inavyowezekana. Nawashukuruni nyote na jioni njema.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA