Nembo Rasmi ya Kuadhmisha Miaka 50 ya Uhuru wa nchi yetu. Nembo hiyo ndiyo iliyopitishwa Rasmi na Kamati ya Taifa ya Madhimisho hayo chini ya Katibu Mkuu Kiongozi. Nashauri kuwa kwa sababu shughuli za miaka 50 zitakuwa nyingi katika wiki na miezi michache ijayo na kwa ajili ya uniformity na kwenda pamoja sote tutumie nembo hiyo kwa kadri inavyowezekana. Nawashukuruni nyote na jioni njema.
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments