MAKACHERO WA KIBONGO WAWANYANYASA WAPIGA PICHA ZA TV NA MAGAZETI ZIARA YA MUSEVENI

Maofisa wa usalama wa Taifa wakiwa wamemnyang'anya kamera na kumtoa eneo lake la kazi Mpigapicha wa magazeti ya The Guardian na Nipashe, Khalfan Said wakati wa ujio wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam leo. Maofisa hao wamekuwa ni kikwazo kikubwa kwa wapigapicha za habari kufaya kazi zao kwa uhuru jambo linalosababisha kero kwa wapigapicha hao na hata wakati mwingine kufikia kuwanyang'anya vitendea kazi vyao.


Khalfan Saidi akiomba kurudishiwa kamera
Kachero akimzuia Mpiga Picha wa The Citizen, Salhim Shao kufanya caverage ujio wa Rais wa Uganda Yoweri Mseveni leo.
Kachero akiwaambia wapiga picha wasithubutu kuvuka kamba kwenda kuwapiga picha marais Jakaya Kikwete na mgeni wake Rais Museveni.
Khalfan Said akitii amri ya Kachero ambaye alimnyang'anya kamera yake, hivyo kumfanya ashindwe kuendelea na majukumu yake.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI