BREAKIIIIG NEWSSSSS, JERRY MURO AWA HURU

Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Jerry Muro (katikati) pamoja na washitakiwa wenzie wawili Edmund Kapama na Deogratias Mgasa (hawapo pichani)waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kuomba rushwa ya sh. mil. 10, leo wameachiwa huru baada ya kuonekana hawana hatia Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.

Habari zaidi itatoka punde

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI