MURO ALIPOACHIWA HURU KWA KESI YA RUSHWA

Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Jerry Muro aliyekshitakiwa kwa kosa la kuomba rushwa, akizungmza na wanahabari baada ya kuachiwa huru leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa kutopatikana na hatia.Muro akitoka mahakamani baada ya kuachiwa huru, Kulia ni mkewe Jenifer John
Muro akiwa na furahaa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI