Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Jerry Muro aliyekshitakiwa kwa kosa la kuomba rushwa, akizungmza na wanahabari baada ya kuachiwa huru leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa kutopatikana na hatia.Muro akitoka mahakamani baada ya kuachiwa huru, Kulia ni mkewe Jenifer John
Muro akiwa na furahaa
Muro akiwa na furahaa
Comments